March 7, 2026

Ura Blog

DSC08175
DSC08189
Siku ya Makabidhiano ya uenyekiti wa Bodi tarehe 30 Disemba 2025, ambapo mwenyekiti mstaafu Balozi CP- Suzan S. Kaganda amemkabidhi CP - Tatu Rashid Jumbe aliyechaguliwa kuwa mjumbe na mwenyekiti wa Bodi ya Chama Novemba 28, 2025.
DSC08206
DSC08277
_DSC0512
Washiriki wa Mafunzo Maalum ya Kuwajengea Uwezo wa Kiutendaji Wawakilishi Wa Ura Saccos wa Mikoa ya Kanda ya kati yaliyofunguliwa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) George Katabazi tarehe 24-05-2025.
_DSC0521
Wajumbe wa Bodi wa Ura Saccos pamoja na wawakilishi wakifuatilia mafunzo kwa kina katika elimu ya kuwajengea uwezo Wawakilishi wa kanda ya kati.
_DSC0577
Mwakilishi wa Wilaya ya Hai D/SGT PAULINA K. MASHINA Akiuliza swali kwenye Mafunzo Maalum ya Kuwajengea Uwezo wa Kiutendaji Wawakilishi Wa Ura Saccos.
_DSC0579
Mwakilishi wa Intel Kuu A/insp Hassan Hassan Akiuliza swali kwenye Mafunzo Maalum ya Kuwajengea Uwezo wa Kiutendaji Wawakilishi Wa Ura Saccos.
_DSC0609
Balboa Daniel Moshi - ASP Afisa Mikopo wa Ura Saccos akiwasilisha mada ya Mikopo kwa wawakilishi wa Mikoa ya Kanda ya kati katika elimu ya kuwajengea uwezo wa kiutendaji.
_DSC0560
Julius Emanuel Mbise - SP Meneja wa Tawi la Ura Saccos Dodoma akiwasilisha mada ya Elimu ya fedha kwa wawakilishi wa Mikoa ya Kanda ya kati jijini Dodoma.
DSC_1461
Washiriki wa Mafunzo Maalum ya Kuwajengea Uwezo wa Kiutendaji Wawakilishi Wa Ura Saccos wa Mikoa ya Kanda ya ziwa na Mikoa ya Kigoma na Katavi yaliyofunguliwa na afande, GIDEON H. MSUYA - SACP kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza tarehe 19-05-2025.
DSC_1448
Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa Wa Mwanza GIDEON H. MSUYA - SACP akiwasisitiza washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo wa Kiutendaji wa mikoa ya Kanda ya Ziwa, Kigoma na Katavi wawe makini katika kufuatilia mafunzo hayo ili iwasaidie katika kwenda kuwahudumia wanachama katika himaya zao.
DSC_1479
Afisa Mahusiano wa Ura Saccos RICHARD MUSSA BUSIMBA - SSP Akiwasilisha mada ya Uwelewa wa Chama kwa Wawakilishi walioshiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kiutendaji mkoani Mwanza.
DSC_1460
Washiriki wa Mafunzo Maalum ya Kuwajengea Uwezo wa Kiutendaji Wawakilishi Wa Ura Saccos wa Mikoa ya Kanda ya ziwa na Mikoa ya Kigoma na Katavi yaliyofunguliwa na afande, GIDEON H. MSUYA - SACP kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza tarehe 19-05-2025.
DSC_1501
Daniel Robert Komba - A/Insp Mkaguzi wa Ndani wa Ura Saccos akiwasilisha mada ya Vihatarishi,udhibiti na ukaguzi wa ndani kwa wawakilishi wa mikoa ya kanda ya ziwa, Kigoma na Katavi.
DSC_1494
Msei L. Mollel - A/Insp Akiwasilisha mada ya Tehama kwa wawakilishi wa mikoa ya kanda ya ziwa, Kigoma na Katavi walioshiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kiutendaji.
WhatsApp Image 2025-05-19 at 10.22.50
Wachekeshaji wa FUTUHI
Cheti cha pongezi Tabora
Tarehe 07.05.2025 URA SACCOS Ltd ilipokea Hati ya Pongezi kutoka kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora RICHARD ABWAO - SAC kwa kutambua mchango mkubwa unaotolewa na chama hicho kwa Jeshi la Polisi.
WhatsApp Image 2025-05-07 at 15.12.21
Mkuu wa Wilaya ya Nzega Mh. Naitapwaki Tukai akikabidhi hati ya shukrani ambaye ametoa pongezi kwa URA SACCOS Ltd kwa kutoa misaada mbalimbali katika mkoa huo.
WhatsApp Image 2025-05-03 at 14.37.40
Meneja msaidizi wa Ura Saccos SSP Peter M. Msuya akimwelezea jambo Mh. Rais na Amri Jeshi Mkuu wa Jamhuri wa Muungano Wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan katika halfa ya Uzinduzi wa Benki ya UshirikaTanzania yaliyofanyika Jijini Dodoma Tarehe 27 na 28 April 2025
WhatsApp Image 2025-05-03 at 14.38.14
Siku ya Uzinduzi wa Benki ya UshirikaTanzania Tarehe 27 na 28 April 2025
WhatsApp Image 2025-04-28 at 10.21.52
Meneja msaidizi wa Ura Saccos SSP Peter M. Msuya akimwelezea jambo Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano Wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa Majaliwa katika halfa ya Uzinduzi wa Benki ya UshirikaTanzania yaliyofanyika Jijini Dodoma Tarehe 27 na 28 April 2025
WhatsApp Image 2025-05-03 at 14.39.02
WhatsApp Image 2025-04-28 at 10.21.51
WhatsApp Image 2025-04-28 at 10.21.51 (1)
DSC_0232
Wajumbe wa Bodi na Wawakilishi wa PORTS SACCOS Kutoka nchini Kenya Waliotembelea URA SACCOS tarehe 16/04/2025 kwa ajili ya Ziara ya Kuja Kujifunza Mambo Mbalimbali Kutoka URA SACCOS.
DSC_0190
Pongezi Kigoma Jan 2025
DSC_0131
DSC_0120
DSC_0192
Kaganda akiongea2 Kigoma Jan 2025
Officers Kigoma Jan 2025
Elimu Kigoma Jan 2025
Members Kigoma Jan 2025
M/Kiti wa bodi akiwasili
Kaganda akiongea Kigoma Jan 2025
M/Kiti wa bodi akiwa na jopo la watendaji wa tawi la kigoma
BM Kigoma Jan 2025
WhatsApp Image 2024-08-14 at 09.04.07 (3)
WhatsApp Image 2024-08-14 at 09.04.07 (1)
WhatsApp Image 2024-08-14 at 09.04.06 (1)
WhatsApp Image 2024-08-14 at 09.04.07
TRA SACCOSS 06 Aug 24
IMG-20240806-WA0023
DSC_7021
DSC_7010
DSC_6996
DSC_7006
DSC_6839
DSC_6826
DSC_6810
DSC_6750
DSC_6743
DSC_4414
AGM15
IGP
SHUHUDA1
chama bora 2023
mshindi banda bora
chama bora 2022
chama bora 2020
chama bora 2019
Untitled design
MG_04681.jpg
slide1
banner1-1.jpg
CHETI-CHA-SACCOS.png
cheti-cha-ura-2.png
JG5A0158-copy-1536x1024.png
ura8.jpg