Close

Monthly Archives:December 2020

MAAZIMIO YA MKUTANO MKUU WA KUMI NA MBILI WA URA SACCOS ULIOFANYIKA TAREHE 12-12-2020 MKOANI TANGA

Kwa kuwa imeonesha, haja ya kuongeza mtaji kupitia Akiba, Amana, na ununuzi wa Hisa, Mkutano Mkuu unaazimia elimu iendelee kutolewa kwa wanachama wote Kwa kuwa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano ni muhimu katika upashanaji wa Habari, Mkutano Mkuu unaazimia mitandao ya Kijamii ya chama ikiwepo Tovuti/Website, Instagram, Youtube na Facebook iliyokwisha anzishwa ianze kutumika live Continue Reading