Chama cha Ushirika wa akiba na mikopo cha Usalama wa Raia (URA SACCOS) Jumamosi 18/03/2023 kimekabidhi vifaa vya kufundishia katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam (DPA). Vifaa hivyo ni maalumu kwa kukuza sauti na kuboresha usikivu katika madarasa makubwa na mihadhara katika maeneo ya wazi (PA system). Akikabidhi vifaa hivyo kwa niaba Continue Reading