Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Ramadhani Kailima akizungumza wakati akifungua mkutano mkuu wa 12 wa chama cha URA SACCOS uliofanyika jiji Tanga na kudhuhuriwa na viongozi wa matawi wa chama cha URA SACCOS kutoka nchi nzima Mwenyekiti wa Bodi ya Ura Sacoss CP–BENEDICT M. WAKULYAMBA akizungumza wakati wa mkutano Continue Reading